uviko19 na ukatili wa kijinsia



Ukatili wa kijinsia na UVIKO-19

Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu umewakutanisha wanachama wake kujadili ukatili wa jinsia wakati wa mlipuko wa janga la UVIKO-19. Mbali na kujadili ukatili wa kijinsia, wanachama walipata saa wa kutengeneza jumbe mbali mbali za madhara yatokanayo na ukatili wa kijinsia kipindi cha UVIKO 19.

Members

66

Members Registered

Litigation

2

Cases Intervened

Projects

2

Projects Completed

Flag Counter

Copyright © CWHRDs-Tanzania